PICHA NYOTA NDOGO AFUNGA NDOA NA MCHUMBA WAKE

Muimbaji wa Kenya, Mwanaisha Abdalla maarufu kama Nyota Ndogo amefunga ndoa weekend hii.

Muimbaji huyo wa ‘Watu na Viatu’ sasa ni mke halali wa mchumba wake Henning Nielsen raia wa Denmark.

“My great day love you all

I thank Allah

#wedding

#love

#world,” ameandika.

Nyota Ndogo mwenye makazi yake mjini Mombasa ameshare picha hizo akiwa na mume wake kwenye Instagram.

“I love my husband Henning Nielsen

#myday

#we,” ameandika kwenye picha nyingine aliyoipost kwenye mtandao huo.

Muimbaji mwenzake wa Kenya, Akothee amempongeza kwa kuandika: akotheekenya Congratulations mrembo I wish you a happy life with your family @nyota_ndogo.”

Huyo anakuwa mume wake wa pili baada ya kuachana na mume wake aliyezaa naye watoto wawili.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

CHOMBEZO: UTAMU WA MADAM JESCA

Simulizi; MTOTO WA BOSS WANGU

SIMULIZI FUPI: UCHI WANGU UMENIPONZA