MUIGIZAJI LUPITA NYONG'O :SINA TV YAKUANGALIA NYUMBANI KWANGU

Muigizaji wa Kenya, Lupita Nyong’o, amesema hutegemea marafiki zake kumpasha habari za kila siku..

“Similiki TV, lakini huwa napata habari kwa njia zingine,” alisema. “Nina marafiki ambao ni wasomaji wazuri wa habari, huwa wananipa muhtasari.”

“Ni binadamu wanaofanya kazi kama app za habari, ni wa aina yake.”

Muigizaji huyo ameliambia jarida la Stylist kuwa husafiri muda mwingi.

CHANZO na Bongo5

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

CHOMBEZO: UTAMU WA MADAM JESCA

Simulizi; MTOTO WA BOSS WANGU

SIMULIZI FUPI: UCHI WANGU UMENIPONZA