MREMBO ANAYEDAWIA KUTEMBEA NA DIAMOND PLATINUMS KUMBE DENTI


Mrembo anayedaiwa ‘kutembea’ na Diamond, Irene Hilaly  ‘Lynn’.

Stori: Mayasa Mariwata, 

BINTI anayedaiwa kubanjuka kimalovee na staa wa Bongo Fleva Nasibu Abdul ‘Diamond Platnum’anayejulikana kwa jina la Irene Hilaly  ‘Lynn’ kumbe ni mwanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Msimbazi Centre aliyeacha masomo akiwa kidato cha tatu mwaka jana.


Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

CHOMBEZO: UTAMU WA MADAM JESCA

Simulizi; MTOTO WA BOSS WANGU

SIMULIZI FUPI: UCHI WANGU UMENIPONZA