HAMAD RASHID RASMI MWENYEKITI MPYA ADC


Habari ambazo tumezipata kutoka katika mkutano mkuu wa chama cha ALLIANCE FOR DEMOCRATIC CHANGE-ADC ni kuwa mkutano mkuu umelipitisha jina la HAMAD RASHID kuwa mwenyekiti mpya wa chama hicho bila kupingwa baada ya mkutano huo kukubali kumfukuza Rasmi aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho SAID MIRAAJ.

Mbali na SAID MIRAAJ wengine ambao mkutano mkuu umepitisha kuwa wafukuzwe uanachama rasmi leo ni Mkurugenzi wa mipango na uchaguzi  wa chama hicho JUMANNE MAGAFU ,JUMA MALUMBO ambaye alikuwa Katibu waa ulinzi na usalama wa chama hicho.,

Kinachosubiriwa na chama hicho sasa ni kuona Mwenyekiti huyo mpya atakuja na Team gani ya uongozi.

Endelea kukaa hapa utapata yote

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

CHOMBEZO: UTAMU WA MADAM JESCA

Simulizi; MTOTO WA BOSS WANGU

SIMULIZI FUPI: UCHI WANGU UMENIPONZA