BREEKING NEWWS:RAIS MSTAAFU WA BURUNDI AFARIKI DUNIA


Rais wa zamani wa Burundi Kanali Jean-Baptiste Bagaza amefariki akitibiwa nchini Ubelgiji.

Kanali Bagaza amekuwa akitibiwa kwa muda katika hospitali ya Sainte Elisabeth mjini Brussels.

Kupitia akaunti yake ya Twitter mshauri wa rais wa Burundi, Willy Nyamitwe amethibitishwa kuwa rais huyo wa zamani wa nchi ya Burundi amefariki dunia akiwa nchini Ubelgiji. 

Kanali Bagaza aliingia madarakani Novemba 1976 kupitia mapinduzi ya kijeshi na aliondolewa madarakani kupitia mapinduzi mengine yaliyoongozwa na binamu wake Meja Pierre Buyoya Septemba 1987.

Source: BBC

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

CHOMBEZO: UTAMU WA MADAM JESCA

Simulizi; MTOTO WA BOSS WANGU

SIMULIZI FUPI: UCHI WANGU UMENIPONZA