Ajali Manyoni: Basi la Leo Luxury Coach (Dar-Mwanza) lagongana na Fuso, dereva wa Fuso afariki dunia



 
 
 

Basi la Leo Luxury Coach limepata ajali ya kugongana na fuso hapa Manyoni, dereva wa fuso amefariki.

Abiria wa basi wote wazima, inasemekana fuso lilikosa breki wakati likishuka mlima.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

CHOMBEZO: UTAMU WA MADAM JESCA

Simulizi; MTOTO WA BOSS WANGU

SIMULIZI FUPI: UCHI WANGU UMENIPONZA