Zitto: Nilipokuwa Mwenyekiti Kamati ya Bunge ya Mashirika ya Umma tulimhoji Tido na Kuthibitisha Hakuwa na kosa

Kupia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa twitter Mbunge Zitto Kabwe amesema alipokuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mashirika ya Umma, walimuita Tido Mhando na kumhoji kuhusu tuhuma alizofikishwa nazo kortini leo.

Zitto Kabwe Ruyagwa


We did it. And I am pretty sure there was no wrong doing. We had all the documents scrutinized and it was proven beyond doubt that it went through board and only thing to do was review the contract and improve it





Walithibitisha hakuna kosa alilolifanya, aitaka TAKUKURU isome ripoti zote na kuna uwezekano wakashindwa kesi.

Tweet hiyo hapo juu imekuja ikiwa ni muendelezo baada ya kuandika tweet nyingine ambayo ilikuwa inamjibu mdau mmoja ambaye alisema Tido alitumika kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2005. Tweet hiyo imesema;


Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

CHOMBEZO: UTAMU WA MADAM JESCA

Simulizi; MTOTO WA BOSS WANGU

SIMULIZI FUPI: UCHI WANGU UMENIPONZA