SASA UNAWEZA DOWNLOAD T MEDIA NEWS APPS.

Jumatatu, 29 Januari 2018

T media news

WCB Yamtambulisha Rasmi Mbosso


Usiku wa kuamkila leo WCB ikiongozwa na Diamond Platnumz, wamemtambulisha msanii wao mpya Mbosso ambaye alikuwa Yamoto Band.



Hafla ya kumtambukisha msanii huyo iliudhuliwa na watu mabalimbali ikiwemo waandishi wa habari.