SASA UNAWEZA DOWNLOAD T MEDIA NEWS APPS.

Jumatatu, 29 Januari 2018

T media news

Nabii Tito Afikishwa Mahakamani Mkoani Dodoma

Baada ya kumkamata na kudai huenda ni kichaa, Jeshi la Polisi mkoani Dodoma leo limemfikisha mahakamani Onesmo Machibya maarufu kama Nabii Tito. Haijafahamika kosa analoshtakiwa nalo.