Breaking News: Aliyekuwa Mkurugenzi wa TBC Tido Mhando Afikishwa Mahakamani
ALIYEKUWA Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC), Tido Mhando amefikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar leo kwa tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka wakati akiwa TBC

Maoni
Chapisha Maoni