LIVE: Fautilia hapa matangazo ya ziara ya Rais Magufuli mkoani Mwanza


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli, leo tarehe 30 Oktoba 2017, amewasili mkoani Mwanza, ambapo pamoja na mambo mengine atafungua Mradi wa Ujenzi wa daraja la watembea kwa miguu lililopo eneo la Furahisha.
Baadae Rais Magufuli atafungua Kiwanda cha Vinywaji baridi cha Sayona kilichopo Nyakato mkoani humo na kufanya Mkutano wa Hadhara.
Fuatilia moja kwa moja matangazo ya ziara ya Rais Magufuli hapa chini;

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

CHOMBEZO: UTAMU WA MADAM JESCA

Simulizi; MTOTO WA BOSS WANGU

SIMULIZI FUPI: UCHI WANGU UMENIPONZA