MZEE Mkapa Yuko Sahihi,Tanzania Kuna Wajinga na Wapumbavu....

Ulishaona nchi wageni wanawafanyia wazawa mambo ya ajabu halafu baadhi ya wanainchi wanashangilia!

Rais anasafishasafisha uchafu Serikalini baadhi ya wanainchi hawataki.!!

Viongozi wanaiba rasilimali za nchi na Rais anahakikisha viongozi wote wa hivyo wanatimuliwa na kushtakiwa baadhi yetu wahataki

Sasa tuwaitaje watu kama hao ambao kila Kitu wao hawataki.

By tramadol