Ajinyonga Baada ya Kugundua Mkewe Anashiriki Mapenzi ya Jinsia Moja
Mwanaume Mmoja Nchi Kenya amejinyonga hadi kufariki kutokana na kugundua mke wake anashiriki mapenzi ya Jinsia moja (Usagaji).
inadaiwa kuwa Mwanamke huyo alitoroka nyumbani kwake kwenda kwa Mwanamke anayeshiriki naye mapenzi hayo ya Usagaji.

Maoni
Chapisha Maoni