Ukweli Kuhusu Tukio la Ngoma Kudaiwa Kumpiga Tambwe

Kama ni mmoja kati ya watu waliosikia zile stori za washambuliaji wa Yanga wa kimataifa Donald Ngoma kutoka Zimbabwe na Amissi Tambwe kutoka Burundi kupigana ngumi, June 25 2016 mkuu wa idara ya habari na mawasiliano wa Yanga Jerry Muro ameweka wazi ukweli wa tukio lenyewe.

“Kitendo hicho kinachosemwa sio cha kweli, wachezaji walikuwa kwenye mazoezi wakachezeana rafu kwa bahati mbaya, lakini Tambwe aliumia kidogo lakini habari kuwa waligombana sio kweli, Tambwe na Ngoma ifahamike kuwa hawagombanii namba, wote wapo kikosi cha kwanza”



Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

CHOMBEZO: UTAMU WA MADAM JESCA

Simulizi; MTOTO WA BOSS WANGU

SIMULIZI FUPI: UCHI WANGU UMENIPONZA