Machapisho

IGP Sirro Kupeleka Magari Mawili uya Polisi Pwani

Picha
Inspekta Jenerali was Polisi IGP Simon Sirro akipokea salaam ya heshima kutoka kwa askari was Mkoa wa Pwani mara baada ya kuwasili Mkoani humo kwa ziara ya kikazi. IGP amewataka askari wa Mkoa wa Pwani kutoa huduma bora na kuendelea kuimarisha nidhamu ili wananchi waendelee kuwa na imani na Jeshi la Polisi. Inspekta Jenerali wa Polisi, IGP Simon Sirro akikagua baadhi ya askari wa Mkoa wa Pwani mara baada ya kuwasili Mkoani humo kwa ziara ya kikazi. Sirro akikagua baadhi askari wa Mkoa wa Pwani mara baada ya kuwasili Mkoani humo kwa ziara ya kikazi. Sirro akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Eng, Evaristi Ndikilo alipowasili Mkoani humo kwa ziara ya kikazi. IKIWA ni siku chache baada ya Rais John Magufuli kufanya ziara ya kushtukiza Bandarini ya dar es Salaam na kukagua magari ya polisi ambayo yaliingizwa nchini mwaka 2015, Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Simon Sirro amesema kwamba magari mawili atayapeleka mkoani Pwani. Rais Magufuli alibaini ukwepo kwa magari zaidi ya 50 yakiwa...

Dkt Shika Amzimia Ray C Asema Ajiwezi

Picha
DAKTARI Louis Shika ambaye alipata umaarufu mkubwa baada ya jaribio lake la kununua nyumba za mfanyabiashara Said Lugumi, ametoa mpya baada ya kudai kuwa anaguswa na muziki wa mkongwe Rehema Chalamila ‘Ray C’. Akipiga stori na Risasi Mchanganyiko juzikati, Dr Shika alisema katika Tanzania, hakuna msanii yeyote wa Bongo Fleva ambaye anamhusudu zaidi ya mwimbaji huyo anayesifika kwa kuimba na

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa apokea vifaa vyya mshindano ya majimbo vyenye thamani ya Tsh 50 milioni.

Picha

TANESCO yafafanua taarifa kuhusu manunuzi ya LUKU

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limekanusha taarifa inayosambaa katika mitandao ya kijamii ikiwataka wateja kununua umeme kwa wingi kutokana na zoezi linaloendelea la kubomoa Ofisi za Makao makuu yake, Ubungo linalodaiwa kuathiri mfumo wake wa LUKU. “Tunaomba wateja wetu wapuuze taarifa hiyo, kwani TANESCO kama ilivyobainisha katika taarifa ya awali, huduma zote za umeme ikiwemo ya manunuzi ya LUKU zitaendelea kama kawaida .Tutaendelea kutoa taarifa kila inapohitajika.”

Katibu Mkuu Chadema Wilaya ya Simanjiro ajiengua na Kuhamia CCM

Picha
Katibu wa Chadema Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, Meshack Tureto amejiengua ndani ya chama hicho na kujiunga na CCM. Tureto aliyekuwa pia katibu wa mbunge wa Simanjiro, James ole Millya ametangaza uamuzi huo akidai Chadema imepoteza dira na mwelekeo wa uongozi. Anakuwa kiongozi wa pili wa Chadema wilayani Simanjiro kujiuzulu baada ya Jumamosi Novemba 25,2017 katibu wa uenezi, Ambrose Ndege kujiuzulu wadhifa huo na kujiunga na CCM. Ndege alikabidhi kadi ya Chadema kwa Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana. Tureto amesema amefikia uamuzi baada ya kuona viongozi wenzake hawana mikakati wala mipango ya maendeleo. Tureto amesema awali, alikuwa mtendaji wa Kijiji cha Narakauwo kilichopo Kata ya Loiborsiret kwa tiketi ya CCM lakini aliacha na kufuata mabadiliko Chadema. Amesema chini ya uongozi wa Rais John Magufuli, mambo yanakwenda kama alivyotarajia hivyo hana sababu ya kuendelea kuwa Chadema. "Chadema imepoteza mwelekeo sasa, nimeona nirudi CCM ambako hakuna kujilimbikiz...

Diamond kwa Nyimbo Hizi Mbili Mpya: Hata Ukistaafu Mziki Leo Sina Cha Kukudai Kamanda, Hebu Sikiliza na Wewe.

Picha
Asiwapigie rafiki zangu..niacheee....nasema niacheeeee....Ntakudanganya kwa tabasamu..ntakudanganya kwa kulikie picha.. wanasema kitanda ukitandika lazima ukilalie.. Kijana unajua sana. hata ukistaafu..umeufanyia makubwa mziki wa wetu. sidai sana. leo kinyumbani nyumbani... Nauliza hivi bado wale wengine wanashindana tu..nasikia wanajua kupiga danadana..si wakacheze mpira tu hata Ruvu jkt..au Polisi Moro. Hebu sikiliza mabalaa hayo...mtaani wa pili mpo

Korea Kaskazi Yarusha Kombora La Masafa Marefu Zaidi Linaloweza Kutua Sehemu Yoyote Duniani

Picha
Korea Kaskazini imelifanyia majaribio kombora lake la masafa marefu lililoruka juu zaidi na kudumu angani kwa dakika 53 kabla ya kutua katika bahari ya Japani. Kwa mujibu wa waziri wa maswala ya ulinzi nchini Marekani James Mattis,kombora hilo ni hatari zaidi kwa sababu liweza kutua katika kona yoyote ile ya dunia ikiwemo Marekani. Komora hilo liliruka kwa urefu wa kilomit a 4,500  na kusafiri umbali wa kilomita  960  kulingana na jeshi la Korea Kusini. Mara ya mwisho kwa  taifa hilo kulifanyia jaribio kombora lake ni mwezi Septemba. Wakati huo, kombora lake la mwisho lilikuwa la sita la nguvu za kinyuklia mwezi huo. Korea Kaskazini imeendeleza mpango wake wa kinyuklia pamoja na ule wa utengenezaji wa makombora licha ya vikwazo ilivyowekewa. Baraza kuu la usalama la umoja wa mataifa linatarajiwa kukutana katika kikao cha dharura ili kuzungumzia hatua hiyo ya kombora lililorushwa jana. Rais wa Marekani Donald Trump aliarifiwa kuhusu hatua hiyo wakati ambap...