SASA UNAWEZA DOWNLOAD T MEDIA NEWS APPS.

Jumatatu, 26 Februari 2018

T media news

Hivi Ndivyo Zari Alivyojiliwaza Katika Sherehe ya Valentine Party

Mrembo Zari The Bosslady wikiendi hii alikuwa mmoja wa wageni katika sherehe ya Valentine Party ambayo ilifanyika katika klabu ya usiku ya Rio Nightclub, iliyopo katika wilaya ya Wood Green, Kaskazini mwa mji wa London.

Zari alitokelezea akiwa na gauni lake fupi na viatu virefu vyote vikiwa na rangi nyekundu. Zari alikuwa ameambatana na muandaji wa sherehe hiyo, Lady Naaa huku Naj akiwa miongoni mwa wageni wengine waliohudhuria sherehe hiyo.

Katika sherehe hiyo Rayvanny na Barakah The Prince walitumbuiza.