SASA UNAWEZA DOWNLOAD T MEDIA NEWS APPS.

Jumatano, 27 Septemba 2017

T media news

Nape Nnauye Amuwakia Aliyemuuliza Juu ya Posti yake ya Bombadier

Mbunge wa Mtama ameseikia akimuwakia mtu aliyekuwa akimuuliza juu ya tweet yake aliyoituma juu ya wananchi jimboni kwake kutojua nini maana ya Bombadier

Jamaa huyo alionekana kama anamshtumu Nape kuwa ameigeuka serikali aliyokuwa akiunga mkono na Nape aakasikika akimtukana mpu****

Msikilize: