Nape Nnauye Amuwakia Aliyemuuliza Juu ya Posti yake ya Bombadier
Mbunge wa Mtama ameseikia akimuwakia mtu aliyekuwa akimuuliza juu ya tweet yake aliyoituma juu ya wananchi jimboni kwake kutojua nini maana ya Bombadier
Jamaa huyo alionekana kama anamshtumu Nape kuwa ameigeuka serikali aliyokuwa akiunga mkono na Nape aakasikika akimtukana mpu****
Msikilize:


Maoni
Chapisha Maoni