JOKATE KIDOTI AMTAJA HUYU MTU AMBAYE YUPO TAYARI KUFA KWA AJILI YAKE

Mrembo wa Tanzania na Mwanamitindo Jokate Mwegelo, ameamua kuweka wazi mtu ambaye yupo tayari kufa kwa ajili yake ikiwa hamna namna. Kupitia ukurasa wake wa Twitter, Jokate amedai mtu Pekee ambaye yupo tayari kufa kwa ajili yake ni Mumewe.


 

Jokate Mwegelo

“Mume wangu” alimjibu swali Shabiki aliyemuuliza katika mtandao huo.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

CHOMBEZO: UTAMU WA MADAM JESCA

Simulizi; MTOTO WA BOSS WANGU

SIMULIZI FUPI: UCHI WANGU UMENIPONZA