Machapisho

FAIDA ZA MBEGU ZA PARACHICHI,

Picha
   MAGONJWA YANAYOTIBIWA NA UNGA WA MBEGU ZA PARACHICHI Limetumika kwa miaka mingi kama tunda na pia kama mboga. Kwa sababu ya wingi wa virutubisho vyake linatumika kutibu maradhi ya shida ya mmeng’enyo wa chakula, urutubishaji wa nywele na ngozi, na kuboresha afya. Mbegu  imegundulika kuwa na faida lukuki. FAIDA YA MBEGU ZA PARACHICHI Virutubisho kwenye kijiko 1 cha UNGA wa mbegu ya parachichi kimesheheni, Vitamin K  26% ,Folate 20%, Vitamin C 17%, Potasimu 14%, Vitamin B5 14%, Vitamin B6 13%, Vitamin E 10%. Virutubisho vingine ni Magnesium, manganese, shaba, chuma, zinki, phosphorus, vitamin A, B1, B2 na B3. (asilimia ni kiwango cha kirutubisho kinachotakiwa kwa siku). 70% ya faida zote za parachichi zipo kweye mbegu yake. Kwahiyo unapokula parachichi na kutupa mbegu yake unakuwa umekula faida 30% na kutupa 70%, hasara iliyoje. Faida: 1. Inaupambana na mioto katika mwili na kutibu magonjwa yanayohusiana na mioto kama shida kwenye jointi za mifupa, arthritis. 2. Ina...

HAPPY BIRTHDAY KARIM & RAHMU

Picha
Enyi wanangu!  Shikeni Swalah na amrisheni mema na katazeni  maovu na SUBIRIN kwa yanayo kupateni. Haya ni katika mambo ya kuzingatia sana WANANGU. Happy birthday KARIM & RAHMU  

Vita vya Badr: Chanzo na sababu za vita vya Badr

Picha
  Sura Ya 30: Vita Vya Badr Vita vya Badr: Chanzo na sababu za vita vya Badr Vita vya Badri. - Vilikuwa ndio vita vya kwanza vya jihad vilivyopiganwa siku ya Ijumaa mwezi 17 Ramadhani, mwaka wa 2 A.H (624 A.D) katika bonde la Badri. - Chanzo cha vita ni kuwa mtume (s.a.w) alikusudia kuuzuia msafara wa Maquraish wa Makkah uliotokea Syria (Sham) uliosheheni bidhaa zenye thamani ya dinar 50,000 kwa ajili ya maandalizi ya kuupiga vita Uislamu na Waislamu. - Mtume (s.a.w) alikuwa na askari 313, ngamia 70 na farasi 2 tu na Makafiri wa Kiquraish wakiwa askari 1000 waliojizatiti kivita, ngamia 700 na farasi 300. - Waislamu walipata ushindi kwa waliuawa Maqurish 70 wengi wao wakiwa vigogo wa Makkah na waislamu 14 tu waliuawa. Rejea Qur’an (3:123-124), (8:9-11), (54:45), (8:65), (8:17) na (8:48). Mafunzo kutokana na Vita vya Badri. 1.Ushindi wa waislamu katika vita unatoka kwa Mwenyezi Mungu (s.w) na sio kutokana na ubora wa silaha na wingi wa askari. Rejea Qur’an (3:123-124), (8:42-45). 2.T...