Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Aprili, 2019

Costa afungiwa mechi 8 kisa kutoa lugha chafu

Picha
Straika wa Atletico Madrid, Diego Costa amefungiwa mechi 8 na Shirikisho la Soka la nchini Hispania baada ya kumtolea lugha chafu mwamuzi aliyechezesha mechi yao dhidi ya Barcelona siku ya Jumamosi. Kifungo hiko kinamaanisha kwamba Costa atakosa mechi zote zilizobaki za msimu huu ambapo Atletico Madrid wamebakiza mechi saba za La Liga. Costa alioneshwa kadi nyekundu kwa kumtukana mwamuzi Gil Manzano dakika ya 28. Costa alikuwa akimtukana Mama wa mwamuzi ambapo adhabu yake ni kufungiwa mechi 4 . Na mechi 4 tena zimeongezwa kwasababu Costa alimshika mkono mwamuzi kumzuia kutoa kadi za njano kwa wachezaji 

Picha: Mazoezi ya mwisho ya Simba SC kuelekea DR Congo

Picha
Kikosi cha Simba SC kikifanya mazoezi ya mwisho kabla ya kesho kuondoka nchini kwenda Lubumbashi, DR Congo kwenye mchezo wa marudiano wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya TP Mazembe utaochezwa Jumamosi.

Serikali Kuwajengea Uwezo Wananchi katika Masuala ya Mafuta, Gesi

Na Immaculate Makilika- MA Serikali  kwa kushirikiana na wadau mbalimbali imeendelea na mkakati wake wa kuwajengea uwezo wananchi  illi waweze kupata taaluma na kuweza kushiriki kwenye sekta ya mafuta na g Akizungumza  Bungeni leo jijini Dodoma, Naibu Waziri wa Nishati,  Subira Mgallu alisema kuwa Serikali kwa kushirikiana na wadau mbalimbali itaendelea kuvitumia vyuo vilivyopo nchini kuwajengea uwezo wa kitaaluma wananchi katika masuala ya utafutaji,  uendelezaji,  uchakataji,  usafirishaji na usambazaji wa mafuta na gesi asilia. Naibu Waziri Mgallu alisema, “Kwa mfano mwaka 2010 Kampuni ya Petrobras ilitumia dola za kimarekani 350,000 sawa na shilingi milioni 780 kufundisha na kukipatia Chuo cha VETA Mtwara vifaa vya mafunzo. Aidha, kupitia mpango huo, wanafunzi 50 na wakufunzi 2 walifundishwa kwenye fani ya umeme na makanika”. Aidha, Kampuni ya Statoil imekuwa ikifadhili mafunzo mbalimbali kwa ngazi ya vyuo, ambapo mwaka 2013 ilif...

Rais Magufuli Awaonya Wanaosambaza Pembejeo HEWA

Rais Magufuli amekemea vikali watu wanaosambaza pembejeo hewa na amewataka waache kufanya hivyo kwa kuwa wanarudisha nyuma maendeleo y Kauli hiyo imetolewa Aprili 11, kabla ya hajafungua barabara ya Mafinga-Nyigo-Igawa yenye urefu wa kilomita 138.7 katika eneo la mtewele na uwanja wa Polisi –Makambako mkoani Njom “Mtu anadai amesambaza magunia kadhaa ya pembejeo wakati hayapo, hatuwezi tukaendelea na nchi yenye hewa kwa sababu hatuwezi kushiba hewa. “Nilipoingia madarakani niliahidi nitakuwa daktari wa kutumbua majipu zikiwemo hizi hewa ili fedha halali zitumike katika masuala mengine halali, ninajua wapo waliopata pembejeo za haki na tukishamaliza ufuatiliaji wa pembejeo watalipwa,” amesema. Aidha amewapongeza wakazi wa Mkoa huo kwa ujenzi mzuri wa nyumba ambapo ameitaka mikoa mingine kuiga mfano huo kwa kujenga nyumba nzuri na za kisasa. “Tangu nimeingia Njombe nimeona nyumba zilizojengwa ni tofauti na nyumba zilizonyengwa huko kwetu kwani hakuna nyumba y...