Machapisho

KISA CHA NABII MUSA NA HIDHIRI |T MEDIA NEWS

Picha
    T media news     16:47:00 KISA ICHI KIMEKUSANYWA  NA KUANDALIWA VEMA NA TAWFIQ MASSINI.       KISA CHA NABII MUSA NA HIDHIRI               SEHEMU YA KWANZA Ni kisa cha  hidhri ameelezewa kama Nabii au Walii au hata Malaika aliye ahi mpaka leo hii ni nabii ambaye bila ya musa uwenda tusinge mfaham ALLAH natusimlia katika qurani  sura ya 18 aya 60 mpaka 82 "Nakumbukeni musa alipomwambia kijana wake  nitaendelea na safari  mpaka  nifike katikati ya  maungano ya bahari mbili  au niendele karne na  karne mpaka  nikutane na huyo ninayetaka kukutana  naye." Kabula ya kisa cha hidhiri tuanze kisa cha musa nacho kwa uchache........ ...Nabii Musa A.S. alipokuwa mkubwa, mkewe Firauni alimwamrisha mama yake amlete ili apate kuishi katika jumba la Firauni. Alipomleta akamchukua mpaka kwenye chumba cha Firauni akamweka hapo ili acheze...

PUNGUZA UZITO BILA GHARAMA KUBWA

Picha
WAKATI MWINGINE JUICE YA UKWAJU NZITO INAWEZA KUKUTOA HUKO USIKOPENDA KUNAKOKUFANYA UKOSE RAHA.... MAHITAJI YAKE NI KAMA IFUATAVYO 1- Ukwaju robo kilo uliomenywa 2- Limao moja la wastani 3- Maji lita moja 4- Rojo la tende nusu kikombe Au asali vijiko vitatu JINSI YA KUANDAA Ni rahisi sana chukua sufuria yako weka ukwaju na maji kisha bandika jikoni uchemke dk 15-20 kusaidia kulainika haraka. Koroga wakati ukiwa unachemka ili utoke vizuri. Baada ya Hapo Ipua Subiri upoe kisha utoe mbegu za ukwaju na uchuje... Kamulia limao lako kisha weka Asali Au tende kama nilivyoelekeza koroga na uandae tayari kwa kunywa... Ukiishakunywa hii kitu pumzika tu home Usije pata shida safarini huko...maana unatakiwa kuinywa NZITO hivyohivyo ili ifanye kazi vizuri... Kwa maelezo Wasiliana na Doctor Seifu.

🩺 UTUNZAJI MAALUM KATIKA UJAUZITO: MWONGOZO KAMILI KWA AFYA YA MAMA NA MTOTO|T MEDIA NEWS

Picha
📘 UTANGULIZI Katika sehemu ya kwanza ya moduli ya Utunzaji katika Ujauzito, ulijifunza kuhusu muundo wa mfumo wa uzazi wa mwanadamu, jinsi ujauzito unavyoanza na hatua zake, pamoja na mabadiliko yanayotokea mwilini mwa mama. Pia ulipata uelewa wa awali kuhusu maendeleo ya mimba na namna ya kutambua matatizo madogo yanayoweza kujitokeza. Sasa, katika sehemu hii ya pili, utajifunza kuhusu utunzaji maalum katika ujauzito—mbinu ya kisasa inayolenga kumpa mama mjamzito huduma bora, salama na yenye ufanisi zaidi. Utunzaji huu unasisitiza huduma binafsi kulingana na hali ya kila mama, badala ya kufuata mfumo wa jumla kwa wote. 🎯 MALENGO YA SOMO Baada ya kujifunza mada hii, utaweza: Kufafanua dhana muhimu zinazohusiana na utunzaji maalum katika ujauzito Kueleza tofauti kati ya utunzaji wa kitamaduni na utunzaji maalum Kuelewa ratiba na malengo ya ziara za kliniki wakati wa ujauzito Kutoa ushauri sahihi kwa mama kuhusu maandalizi ya kujifungua Kutambua dalili za hatari na kuchukua hatua ...

IJUE HISTORIA YA KABILA LA WAKURYA|T MEDIA NEWS

Picha
Abakuria (au Wakurya) ni kabila la watu wanaoishi katika wilaya za Rorya, Tarime na Serengeti kwenye mkoa wa Mara, kaskazini mwa Tanzania, na katika wilaya za magharibi na mashariki mwa Mkoa wa Nyanza katika sehemu ya kusini mashariki ya Kenya. Mnamo mwaka 2005, idadi ya Abakuria ilikadiriwa kuwa 690,000, ikiwa ni 430,000 wanaoishi nchini Tanzania na 260,000 nchini Kenya. Lugha yao ni Kikuria. Abakuria ni wakulima na wafugaji, huku Abakuria wa nchini Kenya wakiegemea sana kwa kilimo nao wa nchini Tanzania wakiegemea sana ufugaji. Kilimo cha asili walikuwa wanalima ulezi mtama na viazi tu kwa ajili ya kutengeneza Togwa (obosara) na Pombe. Mazao mengine yalianza kulimwa miaka ya 1900  baada ya wajerumani kuhimiza kilimo. Wakurya hawapendi kutawaliwa wala kuonewa hivyo walikuwa na saiga lika ya vijana kwa ajili ya ulinzi na usalama hivyo utumwa haukuwaathiri sana. Ila kwa kupenda kwao vita walijiunga sana na jeshi K.A.R (King African Rifle) kupigana vita ya kwanza na ya pili n...