Mbunge wa Mtera Livingstone Lusinde hajapendezwa na baadhi ya wabunge kukosoa utendaji kazi wa Rais John Pombe Magufuli pamoja na watendaji wake na ameamua kuyaongea haya >>> ‘wanaposimama kusema serikali imefilisika msifikiri wanaisema serikali… HAPANA‘
Kutazama zaidi bonyeza play kwenye hii video hapa chini: