SASA UNAWEZA DOWNLOAD T MEDIA NEWS APPS.

Jumatano, 7 Septemba 2016

T media news

Kimenuka Madiwani Jijini Arusha, Watakiwa Kurudisha Mil 40.8 Walizojilipa Kinyemela

Baraza la Madiwani Jiji la Arusha wametakiwa kurudisha posho jumla kiasi cha shilingi milioni 40.8 walizolipana kinyume cha sheria.

Wasiporudisha watakuwa wanakatwa kila mwezi kwenye mishahara yao