SASA UNAWEZA DOWNLOAD T MEDIA NEWS APPS.

Ijumaa, 24 Novemba 2017

T media news

DAR: Aliyekuwa mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila amejiunga na CCM leo

DAR: Aliyekuwa mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila amejiunga na CCM leo baada ya kujiondoa CHADEMA siku chache zilizopita.

- Amekabidhiwa kadi na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Humphrey Polepole kwenye kampeni za Udiwani huko Mbweni.