SASA UNAWEZA DOWNLOAD T MEDIA NEWS APPS.

Jumapili, 30 Oktoba 2016

T media news

STAA JAY Z KUJA KUPIGA SHOW LA TAMASHA LA FIESTA DAR

Tamasha la burudani la Fiesta 2016 limekanusha taarifa zilizozagaa kwenye mitandao ya kijamii kwamba watamleta msanii wa Marekani Jay Z katika show ya Fiesta Dar es salaam.

Mapema Jumamosi hii zilisambaa picha ‘fake’ inayomuonyesha msanii huyo mahiri duniani akiwa ameshasajiriwa kwa ajili ya tamasha hilo linalotarajiwa kufanyika Novemba 5 katika viwanja wa Leaders Club jijini Dar es salaam.

Kupitia ukurasa wa instagram wa Clouds FM umetoa taarifa hii:

Kumetokea uzushi kwamba tumemsajili msanii Jay Z kwa ajili ya kilele cha #Fiesta2016 hapo #November05. Tunapenda kukanusha habari hiyo; picha iliyotengenezwa kueneza habari hiyo ni batili


Wasanii wakimataifa ambao tayari uwepo wao umetangazwa ni pamoja na Yemi Alade wa Nigeria, Jose Chameleone wa Uganda pamoja na Tekno wa Nigeria.

Hii ni list ya wasanii wa Tanzania.

1. Ben Pol

2. Nandy

3. Christian Bella

4. Fid-Q

5. Weusi

6. Roma

7. Chegge

8. Dogo Janja

9. Billnass

10. Stamina

11. Jux

12. Barnaba

13. Maua Sama

14. Darassa

15. Vanessa Mdee

16. Sholo Mwamba

17. Jay Moe

18. Msami

19. Juma Nature

20. Snura

21. Baraka Da Prince

22. Shilole

23. Manfongo

24. Belle 9

25. Lord Eyes

26. Young Dee

27. Raymond

28. Mr. Blue

29. Alikiba – Kingkiba

30. Hamadai