SASA UNAWEZA DOWNLOAD T MEDIA NEWS APPS.

Jumapili, 11 Machi 2018

T media news

Jeshi la Polisi lawapiga marufuku ACT Wazalendo kufanya mikutano ya ndani

Jeshi la Polisi wilayani Mvomero Mkoani Morogoro limekiamuru chama cha ACT Wazalendo wilayani humo kusitisha kufanya mikutano ya ndani

Katika barua iliyosainiwa na SSP Julius S. Lukindo ambaye ni Mkuu wa Polisi wa wilaya hiyo imeelezwa kuwa Jeshi la Polisi kwasasa linashughulikia kesi nyingi za kisiasa hivyo ACT Wazalendo wanashauriwa kufanya mikutano hiyo siku za baadae