SASA UNAWEZA DOWNLOAD T MEDIA NEWS APPS.

Jumanne, 6 Februari 2018

T media news

Joshua Nassari Afikishwa Mahakamani

Taarifa kutoka Arusha zilizotufikia hivi karibuni ni kuhusu  Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nasari amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Arumeru.

Nassari anakabiliwa na tuhuma za shambulio analodaiwa kulifanya kwa aliyekuwa Mtendaji wa Kata ya Makiba mwaka 2014. Mtendaji huyo bado hajatajwa jina lake.