Uongozi wa T MEDIA NEWS, unawatakia kheri na amani waislamu wote nchini na nje ya nchi katika kusherehekea Eid Hajj
Mkurugenzi Mkuu wa T MEDIA NEWS kwa niaba ya wafanyakazi wote wa T MEDIA NEWS, anawasihi Watanzania wote kutumia siku hii kwa kushereheka na sio kuhatarisha amani kwa kufanya matendo mauvu yenye kuhatarisha amani na yenye kumuudhi mwenyezi Mungu.