SASA UNAWEZA DOWNLOAD T MEDIA NEWS APPS.

Jumamosi, 4 Februari 2017

T media news

Tundu Lissu: Kuwataja Vidagaa na Kuwaacha Nyangumi/papa si Ajabu ni Moja Kati ya Mambo ya Hovyo

 Kuwataja Vidagaa na kuwaacha Nyangumi/papa si ajabu ni moja kati ya mambo ya hovyo katika awamu ya 5

Ushauri wangu kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paulo Makonda Vita ya madawa ya kulevya ikiendelea kuwa ya one man show itafika mahali itamshinda, hii vita si ndogo ni kubwa sana hata raisi mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete analifahamu hilo.