SASA UNAWEZA DOWNLOAD T MEDIA NEWS APPS.

Ijumaa, 20 Januari 2017

T media news

Zitto: Angalieni Hali ya Wanafunzi, Jirani yao Chato Inajengwa Airport ya zaidi ya TSh Bilioni 50


Mwanasiasa Machachari Zitto Kabwe ameweka picha hiyo hapo juu kwenye ukurasa wake wa Facebook na kuandika yafuatayo:

Watoto wa Shule ya Msingi Mnyala katika kata ya Nkome Wilaya ya Geita.


Jirani yao Chato inajengwa Airport ya zaidi ya tshs 50bn