Mwanasiasa Machachari Zitto Kabwe ameweka picha hiyo hapo juu kwenye ukurasa wake wa Facebook na kuandika yafuatayo:
Watoto wa Shule ya Msingi Mnyala katika kata ya Nkome Wilaya ya Geita.
Jirani yao Chato inajengwa Airport ya zaidi ya tshs 50bn
habari michezo na burudani