SASA UNAWEZA DOWNLOAD T MEDIA NEWS APPS.

Alhamisi, 1 Desemba 2016

T media news

ZIJUE SABABU ZA SERIKALI KUIPA ONYO KALI GAZETI LA MTANZANIA

serikali imewapa onyo kali gazeti la kila siku la mtanzania kutokana na kuandika habari za upotoshaji kwa umma.

upotoshaji waliofanya gazeti hilo  ni kuandika kuhusu  kuzuiwa kwa Rais Mstaafu wa awamu ya nne kuzuiwa uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere kitu ambacho sio kweli.