
Hatimae leo Msiba wa Masaburi umewakutanisha Lowassa na Kikwete. Kinyume na matarajio ya Wengi kwamba wawili hawa hawaongei kutokana na bifu zao za kisiasa lakini walipo kutana wamekumbatiana wamecheka kwa bashasha sana bila shaka kesho magazeti mengi yatauza picha yao.