MREMBO NADIA BUHARI ATESWA NA AIBU YAKE NA KUJISIKIA KWAKE


Nadia Buhari

Mrembo anayeuza nyago kwenye filamu za Ghallywood, Nadia Buhari amefunguka kuwa tabia yake ya aibu inamtesa sana kiasi kwamba watu wengi wamekuwa wakimchukulia tofauti kuwa anaringa na kujisikia jambo ambalo halina ukweli wowote.

Nadia alisema; “Kiukweli aibu inanitesa. Ila watu wanatakiwa kuelewa kuwa nimezaliwa nikiwa na aibu na watu wasinichukulie tofauti, kila mtu anaasili yake.”


Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

CHOMBEZO: UTAMU WA MADAM JESCA

Simulizi; MTOTO WA BOSS WANGU

SIMULIZI FUPI: UCHI WANGU UMENIPONZA