Duuuuh!!! Mazito hayaaaa!!! Mama kanumba anasema lulu hamsaidiii na hajawahi kabisaaaa....na hata sura ya lulu kaisahau kabisaa!!! Kayasema mengi sana juzi kati alipohojiwa wakati wa kuadhimisha miaka 4 ya kifo cha Rip Kanumba...mdau unalizungumziaje jambo hili????
Mtazame Hapa Kwenye Hii Video: