SASA UNAWEZA DOWNLOAD T MEDIA NEWS APPS.

Alhamisi, 11 Aprili 2019

T media news

Picha: Mazoezi ya mwisho ya Simba SC kuelekea DR Congo


Kikosi cha Simba SC kikifanya mazoezi ya mwisho kabla ya kesho kuondoka nchini kwenda Lubumbashi, DR Congo kwenye mchezo wa marudiano wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya TP Mazembe utaochezwa Jumamosi.