SASA UNAWEZA DOWNLOAD T MEDIA NEWS APPS.

Jumamosi, 20 Januari 2018

T media news

Tahadhari Kuhusu Homa ya Chikungunya, Hakuna Tiba Mahusi Wala Kinga

Serikali kupitia Wizara ya Afya imeutahadharisha umma kuhusu ugonjwa wa Homa ya Chikungunyaambao huambukizwa na mbu aina yaaedes na hauna tiba mahsusi wala kinga. Isome taarifa hii kuelewa zaidi kuhusu ugonjwa huo.