Wadau huku Instagram wanaendelea kurusha picha za ushahidi wa Penzi la Diamond na Hamissa Mobetto na kuwa usiku wa leo wamelala wote nyumbani kwa Diamond tena kitanda kile kile alichokuwa analala na Zari....
Mdau mmoja kaandika hivi:
"Hivi Mpaka sasa kuna mtu bado hakubali🤣🤣Mnaosema ni PhotoShop hii ni Real jamani kama hamuamini mkawaulize wafanyakazi wa madale😂 na mama dangote anajua vizuri tu"