SASA UNAWEZA DOWNLOAD T MEDIA NEWS APPS.

Jumatatu, 4 Septemba 2017

T media news

Mahujaji 35 Wafariki Makkah Siku ya Kwanza ya Hijja......

Wizara ya Afya ya nchini Misri imeeleza kuwa Mahujjaj 35 wa nchi hiyo wamefariki dunia wakati wa siku ya kwanza ya Hijja iliyomalizika nchini Saudi Arabia kutokana na uchovu na umri mkubwa.

 Afisa mmoja wa Wizara hiyo, Ahmed el Ansary, amesema umri wa Mahujjaji waliofariki ni kati ya miaka 60 hadi 85.

Katika Ibada ya Hijja ya mwaka huu zaidi ya Mahujaji milioni mbili walihudhuria wakiwemo milioni 1.8 kutoka nje ya nchi.