SASA UNAWEZA DOWNLOAD T MEDIA NEWS APPS.

Alhamisi, 11 Mei 2017

T media news

Kitanda cha Sokwe Mtu

Kitanda   cha   Sokwe  Mtu  ni   kitabu  kinachoelezea   simulizi  la  ukweli   linalo  muhusu  kijana  Lugwisha  kutoka  Goweko, wilaya  ya  Uyui  mkoani  Tabora   ambae  alifilisiwa  fedha,  mali  na utajiri  wake  wote  kwa  kutumia  uchawi wa  fimbo  za  kwenye  kitanda  cha  Sokwe  Mtu. 

Lengo  la  kitabu  hiki ni kumsaidia  msomaji  kuzitambua  hila, njia  na  mbinu  mbalimbali  zinazo tumiwa  na  wachawi  katika  kusababisha  madhara  na  matatizo  kwa  watu  mbalimbali  pamoja  na  jinsi  ya  kujikinga  na  kujiepusha  nazo.

Kitabu hiki kimeandikwa  na  DOKTA . MUNGWA  KABILI na kinapatikana  kwa  gharama  ya  SHILINGI ELFU KUMI TU.

Kuapata  nakala  yako  PIGA  SIMU NAMBA  0744  000  473.

                 YALIYOMO   NDANI   YA  KITABU  HIKI

Katika  kitabu  hiki  utapata  kufahamu  mambo  mbalimbali  kama  vile ;

1.Jinsi  wachawi  wanavyo  tumia fimbo  au  miti  ya    kwenye  kitanda  cha  sokwe  mtu  kutengeneza  uchawi  na  ulozi  hatari  wenye  kusababisha  nuksi,balaa  na  mikosi  kwa  mwanadamu pamoja  na  jinsi  unavyo  weza  kujiepusha  na  shari  hii.

2. Ndani  ya  kitabu  hiki  utapata  kufahamu  jinsi  wachawi  wanavyo  tumia  mizizi  iliyo okotwa  kaburini  wakati  kaburi  linachimbwa kutengeneza  uchawi  hatari  wa kuwasababishia   watu  nuksi,mikosi  na  mabalaa  mbalimbali  pamoja  na  jinsi  unavyo  weza  kujikinga  na  kujiepusha  na shari hii.

3. Katika  kitabu  hiki maridhawa, utapata  kufahamu jinsi  wachawi  wanavyo tumia majani ya kimbunga   yaliyo  peperushwa  na  kimbunga kikali ambayo  yamedakwa  bila  kufika  chini  ya  ardhi katika kutengeneza  uchawi  na  ulozi  wa  aina  mbalimbali  kama  vile  mapenzi nakadhalika  na  jinsi  unavyo weza  kujikinga  na  ulozi  huo.

4. Ndani  ya  kitabu  hiki  utapata kufahamu jinsi  wachawi  wanavyo  tumia  fusho chafu kuliko  yote  kusababisha  nuksi, mikosi, na  mabalaa kwa watu  watu mbalimbali pamoja  na  jisni  ya  kujikinga  nalo.  Fusho  hilo ndio  fusho  chafu  kuliko  mafusho  yote  duniani na  hufanana  na  lami nyeusi.

5.Utapata  kufahamu  jinsi  wachawi  wanavyo  tumia  mzizi  wa  mti  wa  Mbono  Kaburi  katika  kupika na  kutengeneza  uchawi  wenye kusababisha  nuksi,mikosi na mabalaa  kwa watu mbalimbali  na  jinsi  ya  kujikinga  na  kujiepusha  dhidi  ya  balaa  hili.

6.Ndani  ya  kitabu  hiki utapata  kufahamu  kuhusu  matumizi  ya  mzizi  ulio katisha  njia. Mzizi  ulio katisha  njia  ni  kizimba  kikubwa  sana chenye  matumizi  mengi  sana  katika  ulimwengu  wa  kiganga. Ni kizimba  kinacho tumika kufungua vifungo vya kichawi  karibu vya aina zote. Ndani  ya  kitabu  hiki  utapata  kufahamu  ni kwanini  mzizi ulio katika  njia  hutumika  kufungua  vifungo vya  aina  zote  pamoja na  jinsi  unavyo  tumika

7.Utafahamu  kwanini  wachawi  humtumia  Kinyonga  mwenye  mimba  kutengeneza  ulozi mzito  na  hatari  kabisa  ambao  husababisha  madhara  na  matatizo  mazito  kwa  wanawake  wajawazito wakati  wa  kujifungua  pamoja  na  jinsi ya  kujikinga na kujiepusha  na  uchawi  huo.

8. Utafahamu  kwanini  wachawi  humtumia  huyo  huyo  kinyonga  mjamzito   kutengeneza  ulozi  hatari  wa  mapenzi.

9.     Utafahamu  ni  kwanini  kinyonga  huyo huyo  mjamzito  anaweza  kutumika  katika  kutengeneza  zindiko  kali sana  la shamba, mali  au  nyumba.

10.   Utafahamu  kwanini ni bora  utumie utango  wa  panya  au  kuku  kumzindika   mtoto  awahi  kutembea  au kumtibu  mtoto  alie  chelewa kutembea  kuliko  kutumia  utango wa  vitoto vya  kinyonga ?

11.     Utafahamu  kwanini  mwanamke mwenye tatizo  la  kuchoropoa  mimba, ili  apone  tatizo lake  ni  lazima achanjiwe  kwa  dawa  ambayo  lazima  iwe imechanganywa  na nge  mwenye   mimba

12.   Utafahamu  kwa  nini  wachawi  huwa  hawali  mlenda, samaki  mwenye  magamba  au  kitu  chochote  kile  kinacho teleza.

13.   Utafahamu  kwanini  wachawi, mtoto akizaliwa  na  kitovu kikadondoka, basi  kile  kitovu  ni lazima  kikazikwe  kwa  tambiko  maalumu  chini  ya  mti  wa  msufi.

14.   Utafahamu  jinsi  wachawi  wanavyo  tumia  kinyesi  cha  sokwe mtu, Nyani, Tumbili, Ngedere, Fisi, Chatu, Bundi,paka mweusi, kimburu, kinyesi  cha  ndege  ajulikane  kwa wachawi  kama Mkatasanda au  Mpambe  wa bundi, kinyesi  cha  mtu  alicho jisaidia  porini  pamoja na  vizimba vingine katika  kutengeneza  uchawi  wa kumtia  mtu nuksi. Pamoja  na  jinsi  unavyo  weza  kujiepusha  na  shari  hii.

15.   Utafahamu  jinsi  wachawi  wanavyo mtumia  Kimburu  katika  kutengeneza  uchawi  wa kumtia  mtu nuksi  na  mikosi. Kimburu  ni  paka aliye  asi  nyumbani  na  kukimbilia  porini au mapangoni. Ni kizimba  hatari  sana  kinacho  tumiwa  na  wachawi  kuwatia  watu  mikosi.

16.   Kibinya Utafamu jinsi  wachawi  wanavyo  mtumia Kibinya  mapumbu wa kwenye mti  wa  Mfausiku katika  shughuli  zao za  kichawi  pamoja  na  jinsi  ya  kujiepusha na  shari  zake  zote. “ Kibinya mapumbu “  (ASHAKUM SI MATUSI ni  aina  ya  mjusi kafiri  anaeishi  porini kwenye  miti  mikubwa mikubwa hususani  mti wa  Mfausiku.

 

17.   Utafahamu  mambo mengi  kuhusu  mafuta  ya  usiku. Kama  vile  kwanini  wachawi  au mshirikina  mzuri, hawezi  kufanya  biashara  ndogo  hususani inayo husiana  na  chakula  bila  kutumia  mafuta  ya  usiku.  Kwanini wachawi  na  wanashirikina wanaamini, ili mtu afanikiwe  katika  biashara  ya  vitu vya  kula  ni  lazima  atumie  mafuta  ya  usiku.

18.   

19.   Kupitia  kitabu  hiki  utafahamu kuhusu  aina  kuu mbili  za  matambiko  ya  uchimbaji  madini.

20.   

21.    Utafahamu  kwanini  wachawi  wanapenda  sana  kutumia  mti  wa  mgomba  katika  shughuli  zao  za  kichawi . Kwa mfano wachawi  huutumia  mti wa  mgomba  kwenye  misukule  lakini pia  mti  huo  huo  unatumika  katika  kutengeneza  ulozi  hatari wa  mapenzi.

22.   Utafahamu kwanini  wachawi  hutumia  mafiga  ya  mabichi  ya  mti  wa  mfausiku kumvuta  mtu  alie  mbali kimapenzi.

23.   Utafahamu  kwanini  uchawi  unao tumika kumvuta mpenzi  aliye  mbali  ni lazima  uchochewe  kwa majani  makavu  ya  mgomba.

24.   Utafahamu  kwanini  wachawi  wanapotumia  uchawi wa koroboi   kumvuta  kimapenzi  mtu  aliye  mbali  ni  lazima  watumie  utambi  maalumu  na  ni lazima  mafuta  yatakayo  tumika yawe yamepatikana  bila  kuombwa  wala  kununuliwa.

25.   Utafahamu  kwanini  mke  au mume  aliye  kimbiwa  na  mwenzi  wake  ni  lazima  atumie  mti  wa  mnyaa  ili  kumvuta  kichawi  mwenzi  wake huyo? Na  ni  kwanini  ni lazima  mti  huo  utumike  kuanzia  mlangoni  hadi chini  ya  uvungu  wa  kitanda walichokuwa  wanakitumia.

26.    Utafahamu  uhusiano  uliopo  kati  ya  tumbaku, chumvi  ya  mawe, mtama   na  ulozi  wa  mapenzi

27.   Utafahamu  kwanini mtu  anaetaka  kupandishwa  nyota  yake  ni lazima  aogeshwe  kwa  kutumia  maji  makuu  na  apakwe  mafuta  makuu? Unayajua  makuu ni nini ? Na  je  mafuta  makuu  ni nini ? Vyote  vinapatikana  ndani  ya  kitabu  hiki maridhawa.

28.    Utafahamu  kwanini  mwanamke  anae  taka  kumtawala  mume  wake kimapenzi  ni  lazima aoge  dawa  ambayo ndani  yake  lazima  yavunjwe  mayai  saba  ya  kuku  wa kienyeji, na  maji  yatakayo  tumika kupikia dawa hiyo, ni  lazima  yawe  maji yaliyo tumika  kuoshea  mchele na  ni lazima aogee  juu  ya  meza.  Ndani  ya  kitabu  hiki  utafahamu kila kitu  kuhusu  jambo  hili.

29.    Mtu  anaetaka  kusafishwa  mwili  wake  kwa  ajili  ya  mvuto wa  mapenzi, pamoja  na  mambo mengine  yote  ni lazima  pia  aoge  dawa  ambayo  imepikwa  kwenye  maji  ya  kwanza  ya  mtoni ambayo  yalichukuliwa  mtoni  kwa  tambiko maalumu. Unajua  ni kwanini  na  jinsi inavyo  fanyika?  Yote  utayapata  ndani  ya  kitabu  hiki.

30.   Mtu akitaka  kumvuta  mtu  kimapenzi  ni  lazima akamilishe  hatua  kuu  nne. Je  unajua  ni  hatua  gani  hizo ? Majibu  yote  utayapata  ndani ya  kitabu hiki.

31.   Baharini  kuna  samaki  mmoja  wa  kijini, ambae anajulikana  kama samaki  mtu  au  nguva . Huyu nguvu  ana  uhusiano  mkubwa  sana  na  aina  Fulani  ya  madini  adimu  ambayo pia  hupatikana  baharini. Mbali  na  uhusiano na madini  hayo  samaki  huyu  ana  uhusiano  na  kizimba  kimoja  kizito  sana  ambacho  pia  hupatikana  baharini. Kizimba  hiki  kina  matumizi  mengi  sana, miongoni mwa  matumizi  hayo  ni pamoja  na  kutengeneza  kinga  kubwa  pamoja  na  kuzindika  mchimba madini  au  mgodi. Je  unajua  ni  kizimba  gani  hicho? Na  unajua  kinatumikaje ? Majibu  yote  ndani ya  kiitabu  hiki.

32.  Katika  matambiko  ya  uchimbaji  wa  madini  huwa  kuna  njia  kuu mbili ;Njia  ya  kwanza  unafanya  tambiko   la  kumtengeneza  mchimbaji  na  njia  ya  pili  unafanya  tambiko  la  kutengeneza  shimo. Tambiko  kwa  mchimbaji  hufanyika  ila kumfanyia  mchimbaji  huyo  wepesi  wa  kupata  madini  kila   anapo  ingia  shimoni  kuchimba  ilhali  tambiko  la  kutengeneza  shimo  hufanyika  kwa  lengo  la  kulifanya  shimo  litapishe  madini   ya  kutosha. Tambiko  la  kumtengeneza  mchimbaji  madini  huwa  lina  hatua  kuu  ishirini  na  moja na  tambiko  la  kuzindika  shimo  huwa  lina  hatua  arobaini. Je  ni hatua  gani  hizo ? Majibu  yote  ndani  ya  kitabu  hiki.

33.   Katika kitabu  hiki  utapata  kujua  kwanini  mchawi  akienda  ugenini  au  sehemu  yoyote  asiyo kuwa  nayo  huwa  hawezi  kula  nyama yoyote  yenye  mfupa  wala  samaki  bila  kuwa  na  kinga  maalumu?. Mifupa ya  samaki  au  nyama ambayo  mtu  alikula  na  kuitema  huwa  ni kizimba  kizito na  hatari sana  cha  mapenzi  ambacho  humfunga  kimapenzi  mtu aliye  kula nyama  au  samaki  huyo.  Wengi  walio  fungwa  kwa  uchawi  huu  hatari  wa  mapenzi  wameishia  kufilisika. Unajua  ni  kwanini  uchawi  huu  una  nguvu sana? Unajua  kinga  yake  ni  nini ? Yote  utayapata  ndani  ya  kitabu  hiki.

34.   Kama  kuna  mtu  amelishwa  au  kutupiwa  uchawi, ili  kubatilisha  uchawi  aliolishwa  ni  lazima  tambiko  lifanyike  chini ya  mti  wa  Mkuyu  usiku wa  manane. Kwenye  tambiko  hilo  pamoja  na  vitu  vingine  ni  lazima  kuwe  na  pemba  nyeupe, kuku weupe, mayai  ya  kuku, na  ni lazima  wachinjwe  njiwa  na  punda. Vilevile  ni lazima mganga  aende  akiwa  amejipaka dawa  maalumu, avae  vazi  maalumu  na  atakapo  kuwa  katika  eneo  hilo  ni  lazima  azunguke  mti  wa  Mkuyu kinyume  nyume  mara  arobaini.  Unajua  ni  kwanini lazima  hivyo? Unajua  jinsi  inavyo  kuwa  ? Majibu  yote  ndani  ya  kitabu  hiki.

35.  Hivi  unafahamu  ya  wa   kwamba, wachawi  huamini kuwa, katika  viumbe wote, mwanadamu  ndio  kiumbe  anae toa  harufu  mbaya  kuliko  kiumbe  yoyote  Yule  duniani?  Na  hii  sababu  ndio  maana  mchawi  anaweza  kutumia  uchafu  wake  mwenyewe  kama  vile  uchafu  wa  kwenye  kikwapa, uchafu  wa  mdomoni,  pamoja  sehemu  nyingine  zote  za  mwili  wake  kutengeneza  uchawi na  ulozi  hatari  wenye  kutuma  nuksi, balaa  na  mikosi  kwa  watu ?  Hapo hapo  utafahamu  kwanini  wachawi  hupendelea  kuitumia  siku  ya kuamkia  Jummanne  kuwatia  watu  nuksi  kwa  kutumia   harufu  mbaya  za  kwenye  midomo  yao ? Ni jinsi  gani  unaweza  kujikinga  na  kujiepusha  na  uchawi  huu mbaya ? Yote  utayapata  ndani  ya  kitabu  hiki  maridhawa.

36.   Vile vile  katika  kitabu  hiki  utapata  kufahamu  kwanini mtu  anapokuwa anachanjiwa  kinga  nzito  ni  lazima awe  amekalia  jiwe  na  jiwe  hilo  ni  lazima  liwe  ndani  ya  majini, baharini, ziwani, mtoni au chombo  maalumu  kilicho  tiwa  maji ?

Hayo  ni  baadhi  ya  mambo  machache  ambayo  utayafahamu  ndani  ya  kitabu  hiki. Mambo mengine  ni  pamoja  na  jinsi wachawi  wanavyo  tumia  vitu na mambo mbalimbali  kusababisha  madhara  na  matatizo  kwa  watu  na  jinsi  unavyo  weza  kujikinga  na  kujiepusha  na  shari  za  wachawi. 

==>Baadhi  ya vitu na  mambo  hayo ni pamoja  na :

1.    Magunzi ya mahindi   yaliyo  liwa  na  nyani  shambani

2.    Udongo  wa  kwenye  shamba  ambalo  lilivamiwa na kuliwa  na  nyani.

3.    Visima  arobani na  mito  arobaini.

4.    Nzige  walio chukuliwa  shambani  wakiwa  wanafanya  uharibifu

5.    Mabaki ya  kwenye  shamba  au majani  mwitu yaliyo liwa  na  nzige.

6.    

7. Mizizi  ya  mti uitwao  Mtopetope

8.  Mizizi  ya  mti  uitwao  Mshindwi

9.  Sindano na nyembe  zilizo katwa  na  kwanini  huwa  zinakatwa.

10.  Makaburi  ya  zamani ( mMakaburi  yaliyo sahaulika )

11.  Mdudu  kusahau  ( Huyu ni mdudu  ambae  hupatikana  porini na  nyikani.Ana sifa  moja kubwa  inayo mtofaustisha  na  wadudu wengine  wote. Ukimkanyaga  mdudu  huyu, utasahau  njia  ya  kwenda  kwako au  kwenu na usipozinduliwa  basi unaweza  kupotea  kabisa.

12.  Jogoo  mweusi  au  jogoo  mwekundu  aliye wekwa  porini kwa  muda  wa  siku  saba.

13.       Chungu  cheusi  kilicho  kesha  kaburini kwa  muda  wa  siku saba

14.  

15.   Kaniki  nyeusi  pamoja  na  kamba  za  kaniki  nyeusi

16. Mwiko  uliotumika  kupika  kwenye  msiba  mkubwa

17.      Maji  ya  mchele  yaliyo kesha

18.      Mizizi ya mti  wa  mkurungu

19. Maseko :  Hii  ni dawa   ipatikanayo  kwa  kuchanganya  dawa  saba  za  porini ambazo, kati  ya  dawa  hizo  ni  pamoja  na  magamba  ya  mti  wa  ukwaju pori, pamoja  na  mafuta  ya samli.

20. Mkuki  mdogo  wa  asili

21. Asali  mbichi  ya  nyuki  wadogo

22. Panya  mdogo  aitwae  Msuswe

23.Mafuta  ya  nyuki  wa  Nimba : Nimba  ni  mnyama  wa  porini  ambae  anafanana  na  nyumbu. Mnyama  huyu  huwa  anatembea  na  mzinga  wa  nyuki  kichwani  kwake. Yupo  katika  kundi  la  wanyama  washirikina. Hapatikani  wala  kuonekana  kwa  urahisi na huwa  anapotea  kimiujiza.

24.      Nywele  za  saluni

25.     Moyo  wa  punda  na  kafara  ya  punda

26.  Kondoo , mbuzi au mbwa  aliyepita  duniani  bila kuonekana.

27.  Mkia  wa  kondoo

28. Wadudu wa  kondoo  wa  kichwani.

29. Wadudu  wa  kwenye  kokwa  la  embe

30. Mkia  wa  mbwa  ambao  ulikatwa  wakati mbwa  akiwa  amefyata  mkia.

31. Samaki  wa  maji  baridi  ambae  anaona mbali kuliko samaki wote.

Pamoja  na  mambo mengine  mengi. Yote  utayapata  ndani  ya  kitabu  hiki.

Kwa  maelezo  zaidi, tembelea  : www.mungwakabili.blogspot.com