Mdogo wake mchungaji wa kanisa la ufufuo na uzima(Josephat Gwajima) amesema mchungaji huyo apuuzwe vita ya dawa za kulevya na kuhoji nani yuko nyuma yake kupambana na vita hiyo.
- Amehoji watu wanaodai vyeti vya Paul Makonda walikuwa wapi kabla ya vita ya dawa za kulevya na kutaka mamlaka husika ziachiwe kumchunguza.
- Amehoji watu wanaodai vyeti vya Paul Makonda walikuwa wapi kabla ya vita ya dawa za kulevya na kutaka mamlaka husika ziachiwe kumchunguza.