9/03/2017 Mkoa wa Dodoma .
Kikao Maalum cha kamati ya Utekelezaji UVCCM Taifa kimemalizika mchana huu katika ukumbi Wa CCM Mkoa Wa Dodoma. Kikao hicho ni Maandalizi ya Kikao cha Baraza Kuu la UVCCM Taifa Maalum linatarajiwa kufanya leo alasiri katika ukumbi Wa Royal Village Hotel Dodoma.