SASA UNAWEZA DOWNLOAD T MEDIA NEWS APPS.

Jumapili, 19 Februari 2017

T media news

Zijue Namba Maalum za Magari ya Viongozi, Serikali na Taasisi za Umma kwa Ujumla..!!!


Ukiona mtaani gari zimeandikwa ktk plate number kama ifuatavyo usiumize kichwa jua ni hivi:

1. Ngao-Rais, makamu wa rais na waziri mkuu

2. S-Spika wa bunge

3. JM- Jaji mkuu

4. JR- Jaji wa mahakama ya rufaa

5. JK- Jaji Kiongozi

6. J- Jaji wa mahakama kuu

7. XXXX-Mkuu wa majeshi(CDF)

8. CAG-Mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali

9. CS- Katibu mkuu kiongozi

10. W mwanzoni inaashiria waziri kisha kifupi cha wizara yake hufuata

11. NW-Naibu waziri

12. DFP-Donor's Fund project

13. ST-Serikali ya Tanzania kisha herufi nyingine hufuata

14. SMZ-Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar

15. PT-Police of Tanzania

16. SM-Serikali za mitaa

17. CD- Magari ya ubalozini

18. SU-Shirika la umma.

19. gari za jeshi pia zina namba zake ambazo zina vifupi vya JW

20. MT-Magereza Tanzania

21. CGP-Commissioner General of Prison(Mkuu wa Magereza)

22. Gari nyingine za umma zina namba zaidi ya moja kwa kazi maalum

NYONGEZA:

Gari za biashara zina plate number nyeupe na zile za matumizi binafsi plate number ya njano.