SASA UNAWEZA DOWNLOAD T MEDIA NEWS APPS.

Alhamisi, 23 Februari 2017

T media news

AMBER ROSE NA WIZKHALIFA WAUNGANA PAMOJA KWENYE SIKU YA KUZALIWA MTOTO WAO

Baada ya kumake headline kuhusu yale mabusu ambayo walinaswa na kamera, Wizkhalifa pamoja na Amber Rose wameamua kusherehekea siku ya kuzaliwa kwa mtoto wao Sebastian’s.

kupitia kurasa ya Instagram ya Amber Rose aliposti picha akiwa na mtoto wake Sebastian’s pamoja na Wizkhalifa wakiwa kwenye mavazi ya Batman pamoja na Catwoman huku wakionyesha sura za furaha.