SASA UNAWEZA DOWNLOAD T MEDIA NEWS APPS.

Ijumaa, 13 Januari 2017

T media news

Maneno ya Dully Skykes Juu ya Hali ya Chid Benz Kwa Sasa



"Chid namchukulia kama mgonjwa, mwathirika yeyote ni 
mgonjwa na ndio maana kuna rehab/soba house kwahiyo
yule ni mgonjwa na ninamchukulia kama mgonjwa kwahiyo 
tumuombee mungu atakapoweza kupona tumpe na ushauri
pia asikae na watu ambao wanamletea au watu wanaotumia 
pamoja nae ili tumpate ChidBenz ambaye sisi tunamuhitaji"
alisikika @princedullysykes kwenye XXL wakati akitambulisha
wimbo wake mpya #yono