SASA UNAWEZA DOWNLOAD T MEDIA NEWS APPS.

Alhamisi, 25 Agosti 2016

T media news

Breaking News: UKAWA Wakubali Kurudi Bungeni Baada ya Mkutano na Viongozi wa Dini

Vyama vya CHADEMA, NCCR MAGEUZI, CUF na ACT Wazalendo ambavyo vilisusia vikao vya bunge vimekubali kurejea bungeni baada ya mkutano wao na viongozi wa dini hapo jana.