SASA UNAWEZA DOWNLOAD T MEDIA NEWS APPS.

Alhamisi, 2 Juni 2016

T media news

YALIYOJIRI BUNGE LEO MJINI DODOMA JUNI 3, 2016.

 Waziri

wa Habari, Vijana, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye (kushoto), Mhe.

Margaret Sitta Mbunge wa Urambo (katikati) na Naibu Waziri wa Habari,

Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia Wambura wakielekea ndani ya Ukumbi

wa Bunge, Dodoma leo.

 Baadhi

ya Waheshimiwa wabunge wakiingia ndani ya Ukumbi wa Bunge leo mjini Dodoma.

 Baadhi

ya Waheshimiwa wabunge wakiingia ndani ya Ukumbi wa Bunge leo mjini Dodoma.

 Naibu

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Tulia Ackson akiendesha

kikao cha 35 cha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo mjini Dodoma.

 Mchezaji

wa kulipwa wa mpira wa kikapu nchini Marekani kutoka Tanzania Hasheem

Thabeet (kulia) akiwa na  baadhi ya

wageni mbalimbali waliolitembelea Bunge leo.

 Waziri

wa Katiba na Sheria Dkt. Harrison Mwakyembe akichangia jambo wakati wa kikao cha 35 cha Bunge la Jamhuri

ya Muungano wa Tanzania leo.

 Naibu

Waziri, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Hamad Masauni akijibu maswali ya

wabunge wakati wa kipindi cha maswali na majibu Bungeni Dodoma.

 Baadhi

ya Wabunge na Mawaziri wakifuatilia masuala mbalimbali ndani ya ukumbi wa Bunge

wakati wa kikao cha 35 cha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo.

 Naibu

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Tulia Ackson (kulia)

akisalimiana na Meneja wa VETA mkoa wa Iringa Bw. Maganga nje ya Ukumbi wa

Bunge leo mjini Dodoma.Katikati ni Mbunge wa Kilolo Mhe. Venance Mwamoto.

Naibu

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Tulia Ackson (kulia)

akizungumza jambo na Meneja wa VETA mkoa wa Iringa Bw. Maganga (kushoto) na Mbunge

wa Kilolo Mhe. Venance Mwamoto nje ya Ukumbi wa Bunge leo mjini Dodoma.

 Mchezaji

wa kulipwa wa mpira wa kikapu nchini Marekani kutoka Tanzania Hasheem

Thabeet (kushoto) akifurahia jambo na Mwanasheria Mkuu wa Serikali George Masaju (wa pili kutoka kushoto) na baadhi ya Wabunge nje ya Ukumbi wa Bunge mjini Dodoma.

 Mwenyekiti

wa Kamati ya Haki , Maadili na Madaraka ya Bunge na Mbunge wa Newala Mhe.

George Mkuchika (katikati) akizungumza jambo na Mbunge wa Iringa Mjini Mhe.

Peter Msigwa nje ya Ukumbi wa Bunge Dodoma.Kulia ni Waziri wa Ardhi, Nyumba na

Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi.

 Waziri

wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi akimsisitiza jambo Meneja wa VETA mkoa wa Iringa  Bw. Maganga nje ya Ukumbi wa Bunge Dodoma.

 Kiongozi

wa Kambi ya Upinzania Bungeni Mhe. Freeman Mbowe akifurahia jambo na Mbunge wa

Mtera Mhe. Livingstone Lusinde nje ya Ukumbi wa Bunge, Dodoma.

 Wabunge

wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mhe. Venance Mwamoto (wa pili kutoka kulia), ,

Mhe. Livingstone Lusinde (wa tatu kutoka kulia) na Mhe. Joseph Kasheku Msukuma

( pili kutoka kushoto)wakifurahia jambo

na Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni Mhe. Freeman Mbowe nje ya

Ukumbi wa Bunge leo.

 Mbunge

wa Kilolo Mhe. Venance Mwamoto (wa pili kutoka kulia), Mbunge wa Mtera Mhe.

Livingstone Lusinde (wa tatu kutoka kulia) na Mbunge wa Geita vijijini Mhe.

Joseph Kasheku Msukuma ( pili kutoka kushoto)wakimweleza jambo Kiongozi wa

Kambi ya Upinzani Bungeni Mhe. Freeman Mbowe nje ya Ukumbi wa Bunge leo.

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo

ya Makazi Mhe. William Lukuvi (Kulia) akizungumza jambo na Kiongozi wa Kambi ya

Upinzani Bungeni leo mjini Dodoma.Picha

na Aron Msigwa na Fatma Salum–MAELEZO, DODOMA.