SASA UNAWEZA DOWNLOAD T MEDIA NEWS APPS.

Jumatatu, 16 Aprili 2018

T media news

Rais Magufuli afanya uteuzi mpya

Rais Magufuli leo amefanya uteuzi wa Majaji 10 wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Naibu Mkuu wa Serikali, Naibu Mkurugenzi wa Mashitaka, Wakili Mkuu wa Serikali na Naibu Wakili Mkuu wa Serikali