SASA UNAWEZA DOWNLOAD T MEDIA NEWS APPS.

Jumapili, 19 Novemba 2017

T media news

CCM Yatangaza Mabadiliko Ya Tarehe Ya Kikao Cha Halmashauri Kuu Ya Taifa NEC

Chama cha Mapinduzi (CCM) kimefanya mabadiliko ya tarehe ya kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) kuwa itakuwa ni Novemba 21, 2017 badala ya Novemba 22 na 23, 2017.