SASA UNAWEZA DOWNLOAD T MEDIA NEWS APPS.

Jumanne, 20 Februari 2018

T media news

Picha: John Mnyika Alivyofika Msiba wa Akwilina Kutoa Pole

JANA  February 19, 2018 Mbunge wa Jimbo la  Kibamba na  Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA -Bara John Mnyika akiwa ameongozana na Afisa Habari wa CHADEMA  Tumaini Makene walifika kwenye msiba wa Mwanafunzi aliyepigwa risas, Akwilina Akwilini akiwa kwenye daladala wakati Polisi wakitawanya waandamanaji wa CHADEMA.

L