SASA UNAWEZA DOWNLOAD T MEDIA NEWS APPS.

Jumatatu, 11 Septemba 2017

T media news

Julius Mtatiro Afunguka 'Mbinu hii ya Kuvamia na Kuua ina Madhara Makubwa Sana'

Mbinu hii ya kuvamia na kuua ina madhara makubwa sana, kama lengo lake lilikuwa ni kuwatisha wanasiasa na wanaharakati, walioibuni hawaku-calculate madhara yake.

Madhara yake makuu huwa ni visasi, visasi, visasi - na visasi hugusa pande zote, zilizoathiriwa na zilizoathiri. Mwisho wa siku visasi huzaa machafuko! Tusimame imara, tuseme hapana! Tuseme NO!